13 Basi hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli naye akawafanya watange-tange nyikani miaka 40,+ mpaka kizazi chote kilichokuwa kikifanya uovu machoni pa Yehova kikafikia mwisho wake.+
2 Nawe uikumbuke njia yote ambayo Yehova Mungu wako alikutembeza miaka hii 40 nyikani,+ ili kukunyenyekeza,+ kukujaribu+ apate kujua yaliyokuwa moyoni mwako,+ iwapo utashika amri zake au hapana.