-
Yoshua 5:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Kwa maana wana wa Israeli walikuwa wametembea miaka 40+ nyikani, mpaka lilipokwisha taifa lote la wale wanaume wa vita waliotoka Misri ambao hawakuisikiliza sauti ya Yehova, ambao Yehova alikuwa amewaapia kwamba hatawaruhusu kamwe waione nchi+ ambayo Yehova alikuwa amewaapia mababu zao kwamba atatupa sisi,+ nchi inayotiririka maziwa na asali.+
-
-
Zaburi 95:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Kwa miaka 40 nilichukizwa na kizazi hicho,+
Nami nikasema:
“Wao ni kikundi cha watu waliopotoka moyoni,+
Nao wenyewe hawajapata kuzijua njia zangu”;+
-