Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na wana wenu watakuwa wachungaji nyikani+ kwa miaka 40, nao watajibu kwa sababu ya matendo yenu ya uasherati,+ mpaka mizoga yenu itakapofikia mwisho wake nyikani.+

  • Kumbukumbu la Torati 29:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 ‘Nilipokuwa nikiwaongoza ninyi kwa miaka 40 nyikani,+ mavazi yenu hayakuchakaa juu yenu, na kiatu chako hakikuchakaa kwenye mguu wako.+

  • Yoshua 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana wana wa Israeli walikuwa wametembea miaka 40+ nyikani, mpaka lilipokwisha taifa lote la wale wanaume wa vita waliotoka Misri ambao hawakuisikiliza sauti ya Yehova, ambao Yehova alikuwa amewaapia kwamba hatawaruhusu kamwe waione nchi+ ambayo Yehova alikuwa amewaapia mababu zao kwamba atatupa sisi,+ nchi inayotiririka maziwa na asali.+

  • Zaburi 95:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa miaka 40 nilichukizwa na kizazi hicho,+

      Nami nikasema:

      “Wao ni kikundi cha watu waliopotoka moyoni,+

      Nao wenyewe hawajapata kuzijua njia zangu”;+

  • Matendo 7:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Mtu huyo aliwaongoza watoke+ baada ya kufanya mambo ya ajabu na ishara katika Misri+ na katika Bahari Nyekundu+ na katika nyika kwa miaka 40.+

  • Matendo 13:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na kwa kipindi cha karibu miaka 40+ akavumilia jinsi walivyotenda nyikani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki