Hesabu 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 hawataiona kamwe nchi ambayo niliwaapia baba zao, naam, wale wote wanaonitendea bila heshima hawataiona.+ Kumbukumbu la Torati 1:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 ‘Hakuna hata mmoja kati ya watu hawa wa kizazi hiki kiovu atakayeiona ile nchi nzuri niliyoapa ya kwamba nitawapa baba zenu,+ Zaburi 106:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa hiyo akainua mkono wake katika kiapo juu yao,+Kwamba angewafanya waanguke nyikani,+
23 hawataiona kamwe nchi ambayo niliwaapia baba zao, naam, wale wote wanaonitendea bila heshima hawataiona.+
35 ‘Hakuna hata mmoja kati ya watu hawa wa kizazi hiki kiovu atakayeiona ile nchi nzuri niliyoapa ya kwamba nitawapa baba zenu,+