Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 26:64
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 64 Lakini kati ya hao hakukuwa na mtu kati ya wale walioandikishwa na Musa na Haruni kuhani wakati ambapo waliwaandikisha wana wa Israeli katika nyika ya Sinai.+

  • Hesabu 32:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 ‘Wanaume waliotoka Misri kuanzia umri wa miaka 20 na zaidi+ hawatauona udongo ambao niliwaapia Abrahamu, Isaka na Yakobo,+ kwa sababu hawakunifuata kabisa,

  • Kumbukumbu la Torati 1:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 ‘Hakuna hata mmoja kati ya watu hawa wa kizazi hiki kiovu atakayeiona ile nchi nzuri niliyoapa ya kwamba nitawapa baba zenu,+

  • Zaburi 95:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ambao niliapa juu yao kwa hasira yangu:+

      “Hawataingia katika mahali pangu pa kupumzikia.”+

  • Zaburi 106:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa hiyo akainua mkono wake katika kiapo juu yao,+

      Kwamba angewafanya waanguke nyikani,+

  • Waebrania 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lakini aliapa+ kwa akina nani kwamba hawataingia katika pumziko lake isipokuwa kwa wale waliotenda kwa kutotii?+

  • Waebrania 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana sisi ambao tumeonyesha imani tunaingia katika pumziko, kama vile ambavyo amesema: “Kwa hiyo niliapa+ katika hasira yangu, ‘Hawataingia+ katika pumziko langu,’ ”+ ijapokuwa kazi zake zilimalizwa+ tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki