Hesabu 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 hawataiona kamwe nchi ambayo niliwaapia baba zao, naam, wale wote wanaonitendea bila heshima hawataiona.+ Waebrania 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana sisi ambao tumeonyesha imani tunaingia katika pumziko, kama vile ambavyo amesema: “Kwa hiyo niliapa+ katika hasira yangu, ‘Hawataingia+ katika pumziko langu,’ ”+ ijapokuwa kazi zake zilimalizwa+ tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.+
23 hawataiona kamwe nchi ambayo niliwaapia baba zao, naam, wale wote wanaonitendea bila heshima hawataiona.+
3 Kwa maana sisi ambao tumeonyesha imani tunaingia katika pumziko, kama vile ambavyo amesema: “Kwa hiyo niliapa+ katika hasira yangu, ‘Hawataingia+ katika pumziko langu,’ ”+ ijapokuwa kazi zake zilimalizwa+ tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.+