Hesabu 14:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Katika nyika hii mizoga yenu itaanguka,+ naam, wote kati ya hesabu yenu ya walioandikishwa kuanzia miaka 20 na zaidi, ninyi ambao mmenung’unika juu yangu.+ Matendo 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na kwa kipindi cha karibu miaka 40+ akavumilia jinsi walivyotenda nyikani. 1 Wakorintho 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hata hivyo, Mungu hakuonyesha kibali+ chake juu ya walio wengi kati yao, kwa maana waliangamizwa+ nyikani. Waebrania 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Zaidi ya hayo, Mungu alichukizwa na akina nani kwa miaka 40?+ Je, haikuwa na wale waliotenda dhambi, ambao mizoga yao ilianguka nyikani?+
29 Katika nyika hii mizoga yenu itaanguka,+ naam, wote kati ya hesabu yenu ya walioandikishwa kuanzia miaka 20 na zaidi, ninyi ambao mmenung’unika juu yangu.+
5 Hata hivyo, Mungu hakuonyesha kibali+ chake juu ya walio wengi kati yao, kwa maana waliangamizwa+ nyikani.
17 Zaidi ya hayo, Mungu alichukizwa na akina nani kwa miaka 40?+ Je, haikuwa na wale waliotenda dhambi, ambao mizoga yao ilianguka nyikani?+