Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Lakini watu wote ambao wamekuwa wakiuona utukufu+ wangu na ishara+ zangu ambazo nimefanya katika Misri na nyikani na bado wakaendelea kunijaribu+ mara kumi hizi, nao hawakuisikiliza sauti yangu,+

  • Hesabu 14:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Katika nyika hii mizoga yenu itaanguka,+ naam, wote kati ya hesabu yenu ya walioandikishwa kuanzia miaka 20 na zaidi, ninyi ambao mmenung’unika juu yangu.+

  • 1 Wakorintho 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Hata hivyo, Mungu hakuonyesha kibali+ chake juu ya walio wengi kati yao, kwa maana waliangamizwa+ nyikani.

  • 1 Wakorintho 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wala tusiwe wanung’unikaji, kama baadhi yao walivyonung’unika,+ na kuangamizwa na mwangamizaji.+

  • Yuda 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ninataka kuwakumbusha ninyi, ingawa tayari mnajua mambo yote+ haya kwamba Yehova, ijapokuwa aliwaokoa watu kutoka nchi ya Misri,+ baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuonyesha imani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki