Hesabu 14:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 “‘“Mimi Yehova nimesema hakika hilo ndilo nitakalolitendea kusanyiko hili lote lenye uovu,+ wale ambao wamekusanyika pamoja dhidi yangu: Katika nyika hii watafikia mwisho wao, na humo watakufa.+ 1 Wakorintho 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hata hivyo, Mungu hakuonyesha kibali+ chake juu ya walio wengi kati yao, kwa maana waliangamizwa+ nyikani. Waebrania 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo tunaona kwamba hawakuweza kuingia kwa sababu ya kukosa imani.+
35 “‘“Mimi Yehova nimesema hakika hilo ndilo nitakalolitendea kusanyiko hili lote lenye uovu,+ wale ambao wamekusanyika pamoja dhidi yangu: Katika nyika hii watafikia mwisho wao, na humo watakufa.+
5 Hata hivyo, Mungu hakuonyesha kibali+ chake juu ya walio wengi kati yao, kwa maana waliangamizwa+ nyikani.