Hesabu 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mwishowe Yehova akamwambia Musa: “Watu hawa wataendelea kunitendea bila heshima+ mpaka wakati gani,+ nao watakosa kuniamini mpaka wakati gani ijapokuwa ishara zote ambazo nilifanya katikati yao?+ Kumbukumbu la Torati 32:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wao wamenichochea niwe na wivu kwa kile ambacho si mungu;+Wameniudhi kwa sanamu zao za ubatili;+Na mimi, nitawachochea wawe na wivu kwa kile ambacho si kikundi cha watu;+Kwa taifa jinga nitawatia uchungu.+
11 Mwishowe Yehova akamwambia Musa: “Watu hawa wataendelea kunitendea bila heshima+ mpaka wakati gani,+ nao watakosa kuniamini mpaka wakati gani ijapokuwa ishara zote ambazo nilifanya katikati yao?+
21 Wao wamenichochea niwe na wivu kwa kile ambacho si mungu;+Wameniudhi kwa sanamu zao za ubatili;+Na mimi, nitawachochea wawe na wivu kwa kile ambacho si kikundi cha watu;+Kwa taifa jinga nitawatia uchungu.+