Zaburi 96:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana miungu yote ya vikundi vya watu ni miungu isiyo na thamani;+Lakini Yehova, amezifanya mbingu.+ Isaya 44:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ni nani ambaye amefanya mungu au kutengeneza sanamu ya kuyeyushwa?+ Imekuwa isiyo na faida yoyote.+ 1 Wakorintho 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+ 1 Wakorintho 10:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hapana; bali nasema kwamba vitu ambavyo mataifa huvitoa dhabihu wao huvitoa dhabihu kwa roho waovu,+ na si kwa Mungu; nami sitaki ninyi muwe washiriki pamoja na roho waovu.+
5 Kwa maana miungu yote ya vikundi vya watu ni miungu isiyo na thamani;+Lakini Yehova, amezifanya mbingu.+
10 Ni nani ambaye amefanya mungu au kutengeneza sanamu ya kuyeyushwa?+ Imekuwa isiyo na faida yoyote.+
4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+
20 Hapana; bali nasema kwamba vitu ambavyo mataifa huvitoa dhabihu wao huvitoa dhabihu kwa roho waovu,+ na si kwa Mungu; nami sitaki ninyi muwe washiriki pamoja na roho waovu.+