Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nao wakaanza kumwomba Yehova msaada,+ wakisema, ‘Tumetenda dhambi,+ kwa maana tumemwacha Yehova ili tutumikie Mabaali+ na sanamu za Ashtorethi;+ basi sasa utukomboe+ kutoka mkono wa adui zetu, ili tukutumikie.’

  • 1 Samweli 12:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nanyi msigeuke kando ili kufuata vitu visivyo vya kweli+ ambavyo havina faida+ yoyote na ambavyo havikomboi, kwa sababu hivyo ni vitu visivyo vya kweli.

  • 1 Wafalme 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 kwa sababu ya dhambi zote za Baasha na dhambi za Ela+ mwana wake ambazo walitenda na ambazo kupitia hizo walisababisha Israeli kutenda dhambi kwa kumtia uchungu Yehova Mungu wa Israeli, kwa sanamu zao za ubatili.+

  • Matendo 14:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 na kusema: “Wanaume, kwa nini mnafanya mambo haya? Sisi pia ni wanadamu+ tulio na udhaifu+ uleule kama ninyi, nasi tunawatangazia ninyi habari njema, ili mgeuke kutoka kwa mambo haya ya bure+ mpate kumjia Mungu aliye hai,+ aliyefanya mbingu+ na dunia na bahari na vitu vyote vilivyomo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki