1 Wafalme 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Alifanya hivyo kwa sababu ya dhambi zote ambazo Baasha na mwanawe Ela walikuwa wametenda na dhambi ambazo walisababisha Waisraeli kutenda na kumkasirisha Yehova Mungu wa Israeli kwa sanamu zao za ubatili.+
13 Alifanya hivyo kwa sababu ya dhambi zote ambazo Baasha na mwanawe Ela walikuwa wametenda na dhambi ambazo walisababisha Waisraeli kutenda na kumkasirisha Yehova Mungu wa Israeli kwa sanamu zao za ubatili.+