2 “Chukueni hesabu+ ya kusanyiko lote la wana wa Israeli kulingana na familia zao, kulingana na nyumba ya baba zao, kwa hesabu ya majina, wanaume wote, kichwa kwa kichwa kati yao,
14 Na siku tulizotembea kutoka Kadesh-barnea mpaka tulipovuka bonde la mto la Zeredi zilikuwa miaka 38, mpaka kizazi chote cha wanaume wa vita kilipokuwa kimefikia mwisho wake kutoka katika kambi, kama vile Yehova alivyokuwa amewaapia.+