Hesabu 14:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nanyi hamtaingia katika nchi ambayo niliinua mkono wangu katika kiapo+ ya kwamba nitakaa pamoja nanyi, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+ Kumbukumbu la Torati 1:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 ‘Hakuna hata mmoja kati ya watu hawa wa kizazi hiki kiovu atakayeiona ile nchi nzuri niliyoapa ya kwamba nitawapa baba zenu,+
30 Nanyi hamtaingia katika nchi ambayo niliinua mkono wangu katika kiapo+ ya kwamba nitakaa pamoja nanyi, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+
35 ‘Hakuna hata mmoja kati ya watu hawa wa kizazi hiki kiovu atakayeiona ile nchi nzuri niliyoapa ya kwamba nitawapa baba zenu,+