5 Baadaye Yehova akamwambia Musa: “Mwambie Haruni, ‘Nyoosha mkono wako pamoja na fimbo+ yako juu ya mito, mifereji ya Nile na madimbwi yenye matete na kuwafanya vyura waje juu ya nchi ya Misri.’”
10 Basi wakachukua masizi ya tanuru na kusimama mbele ya Farao, naye Musa akayarusha kuelekea mbinguni, nayo yakawa majipu yenye malengelenge,+ yanayopasuka juu ya mwanadamu na mnyama.