Kutoka 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nami nitaunyoosha mkono+ wangu na kuipiga Misri kwa matendo yangu yote ya ajabu nitakayoyafanya katikati yake; kisha atawaruhusu mwondoke.+ Kutoka 11:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Farao hatawasikiliza ninyi,+ ili miujiza yangu iongezeke katika nchi ya Misri.”+ Zaburi 105:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Wakaweka kati yao mambo ya ishara zake,+Na miujiza katika nchi ya Hamu.+ Matendo 7:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Mtu huyo aliwaongoza watoke+ baada ya kufanya mambo ya ajabu na ishara katika Misri+ na katika Bahari Nyekundu+ na katika nyika kwa miaka 40.+
20 Nami nitaunyoosha mkono+ wangu na kuipiga Misri kwa matendo yangu yote ya ajabu nitakayoyafanya katikati yake; kisha atawaruhusu mwondoke.+
9 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Farao hatawasikiliza ninyi,+ ili miujiza yangu iongezeke katika nchi ya Misri.”+
36 Mtu huyo aliwaongoza watoke+ baada ya kufanya mambo ya ajabu na ishara katika Misri+ na katika Bahari Nyekundu+ na katika nyika kwa miaka 40.+