Kutoka 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sasa Musa akanyoosha mkono wake juu ya bahari;+ naye Yehova akaanza kuifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wenye nguvu wa mashariki usiku kucha na kuligeuza bonde la bahari liwe nchi kavu,+ nayo maji yalikuwa yakitenganishwa.+ Kutoka 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Maji yenye kututumuka yaliwafunika;+ wakashuka ndani ya vilindi kama jiwe.+ Waebrania 11:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa imani walipita katikati ya Bahari Nyekundu kana kwamba ni juu ya nchi kavu,+ lakini Wamisri walipothubutu kuipitia wakamezwa.+
21 Sasa Musa akanyoosha mkono wake juu ya bahari;+ naye Yehova akaanza kuifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wenye nguvu wa mashariki usiku kucha na kuligeuza bonde la bahari liwe nchi kavu,+ nayo maji yalikuwa yakitenganishwa.+
29 Kwa imani walipita katikati ya Bahari Nyekundu kana kwamba ni juu ya nchi kavu,+ lakini Wamisri walipothubutu kuipitia wakamezwa.+