Kutoka 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye Yehova akamwambia Musa: “Ukisha kwenda na kurudi Misri hakikisha umefanya miujiza yote ambayo nimeitia mkononi mwako mbele ya Farao.+ Mimi nami, nitauacha moyo wake uwe mkaidi;+ naye hatawaruhusu watu waende zao.+ Kutoka 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Farao alipoona kwamba kitulizo kilikuwa kimetokea, akaufanya moyo wake uwe mgumu;+ naye hakuwasikiliza wao, kama vile Yehova alivyokuwa amesema.+ Kutoka 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini Yehova akauacha moyo wa Farao uwe mkaidi, naye hakuwasikiliza, kama vile Yehova alivyokuwa amemwambia Musa.+ Waroma 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hivyo basi, yeye humwonyesha rehema yule ambaye yeye anataka,+ lakini yeye ambaye anataka kumwacha humwacha awe mkaidi.+
21 Naye Yehova akamwambia Musa: “Ukisha kwenda na kurudi Misri hakikisha umefanya miujiza yote ambayo nimeitia mkononi mwako mbele ya Farao.+ Mimi nami, nitauacha moyo wake uwe mkaidi;+ naye hatawaruhusu watu waende zao.+
15 Farao alipoona kwamba kitulizo kilikuwa kimetokea, akaufanya moyo wake uwe mgumu;+ naye hakuwasikiliza wao, kama vile Yehova alivyokuwa amesema.+
12 Lakini Yehova akauacha moyo wa Farao uwe mkaidi, naye hakuwasikiliza, kama vile Yehova alivyokuwa amemwambia Musa.+
18 Hivyo basi, yeye humwonyesha rehema yule ambaye yeye anataka,+ lakini yeye ambaye anataka kumwacha humwacha awe mkaidi.+