10Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Ingia ndani kwa Farao, kwa sababu mimi—mimi nimeuacha moyo wake na mioyo ya watumishi wake iwe migumu,+ ili niweke ishara zangu hizi mbele yake,+
4 Kwa hiyo, kwa kweli nitauacha moyo wa Farao uwe mkaidi,+ naye hakika atawafuatilia wao nami nitajipatia utukufu kupitia kwa Farao na majeshi yake yote;+ nao Wamisri watajua hakika kwamba mimi ni Yehova.”+ Basi wakafanya vivyo hivyo.