21 Naye Yehova akamwambia Musa: “Ukisha kwenda na kurudi Misri hakikisha umefanya miujiza yote ambayo nimeitia mkononi mwako mbele ya Farao.+ Mimi nami, nitauacha moyo wake uwe mkaidi;+ naye hatawaruhusu watu waende zao.+
34 Farao alipoona kwamba mvua na mawe ya mvua na mingurumo zilikuwa zimekoma, akatenda dhambi tena na kuufanya moyo wake uwe mgumu,+ yeye na watumishi wake.