Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 4:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye Yehova akamwambia Musa: “Ukisha kwenda na kurudi Misri hakikisha umefanya miujiza yote ambayo nimeitia mkononi mwako mbele ya Farao.+ Mimi nami, nitauacha moyo wake uwe mkaidi;+ naye hatawaruhusu watu waende zao.+

  • Kutoka 8:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Farao alipoona kwamba kitulizo kilikuwa kimetokea, akaufanya moyo wake uwe mgumu;+ naye hakuwasikiliza wao, kama vile Yehova alivyokuwa amesema.+

  • Kumbukumbu la Torati 2:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Naye Sihoni mfalme wa Heshboni hakuturuhusu tupite katikati yake, kwa sababu Yehova Mungu wako alikuwa ameiacha roho yake iwe kaidi+ na moyo wake uwe mgumu, ili amtie mkononi mwako kama ilivyo leo hii.+

  • Yoshua 11:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa kuwa hiyo ndiyo iliyokuwa njia ya Yehova ya kutenda, kuacha mioyo yao iwe migumu+ ili watangaze vita juu ya Israeli, kusudi awaangamize, ili wasipate kibali,+ bali ili yeye apate kuwaangamiza, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.+

  • Waroma 9:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hivyo basi, yeye humwonyesha rehema yule ambaye yeye anataka,+ lakini yeye ambaye anataka kumwacha humwacha awe mkaidi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki