Isaya 26:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata mwovu akionyeshwa kibali, yeye hatajifunza uadilifu.+ Atatenda isivyo haki katika nchi ya unyoofu,+ naye hatauona ukuu wa Yehova.+ Yeremia 34:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini wakageuka+ baada ya hayo na kuanza kuwarudisha wale watumishi wa kiume na wajakazi ambao walikuwa wamewaachilia huru, nao wakawatiisha kama watumishi wa kiume na kama wajakazi.+
10 Hata mwovu akionyeshwa kibali, yeye hatajifunza uadilifu.+ Atatenda isivyo haki katika nchi ya unyoofu,+ naye hatauona ukuu wa Yehova.+
11 Lakini wakageuka+ baada ya hayo na kuanza kuwarudisha wale watumishi wa kiume na wajakazi ambao walikuwa wamewaachilia huru, nao wakawatiisha kama watumishi wa kiume na kama wajakazi.+