Zaburi 28:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana hawajali utendaji wa Yehova,+Wala kazi ya mikono yake.+Yeye atawabomoa wala hatawajenga. Isaya 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na kutakuwa na kinubi na kinanda, tari na filimbi, na divai katika karamu zao;+ lakini hawauangalii utendaji wa Yehova, wala hawakuiona kazi ya mikono yake.+ Hosea 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na watu wangu wanaelekea kunikosea uaminifu.+ Nao huwaita kuelekea juu; wala hakuna yeyote anayesimama.
12 Na kutakuwa na kinubi na kinanda, tari na filimbi, na divai katika karamu zao;+ lakini hawauangalii utendaji wa Yehova, wala hawakuiona kazi ya mikono yake.+
7 Na watu wangu wanaelekea kunikosea uaminifu.+ Nao huwaita kuelekea juu; wala hakuna yeyote anayesimama.