Ayubu 34:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa sababu wamegeuka kando wasimfuate,+Nao hawakufikiria yoyote ya njia zake,+ Zaburi 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu;+Nalo anga linatangaza kazi ya mikono yake.+ Zaburi 28:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana hawajali utendaji wa Yehova,+Wala kazi ya mikono yake.+Yeye atawabomoa wala hatawajenga. Zaburi 92:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtu yeyote asiyetumia akili hawezi kuzijua,+Wala yeyote aliye mjinga hawezi kuelewa hili.+