Zaburi 28:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana hawajali utendaji wa Yehova,+Wala kazi ya mikono yake.+Yeye atawabomoa wala hatawajenga. Isaya 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na kutakuwa na kinubi na kinanda, tari na filimbi, na divai katika karamu zao;+ lakini hawauangalii utendaji wa Yehova, wala hawakuiona kazi ya mikono yake.+
12 Na kutakuwa na kinubi na kinanda, tari na filimbi, na divai katika karamu zao;+ lakini hawauangalii utendaji wa Yehova, wala hawakuiona kazi ya mikono yake.+