Kutoka 32:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wamegeuka kando haraka kutoka katika njia niliyowaamuru waende.+ Wamejifanyia sanamu ya kuyeyushwa ya ndama na wanaendelea kuiinamia na kuitolea dhabihu na kusema, ‘Huyu ndiye Mungu wako, Ee Israeli, aliyekuongoza kutoka nchi ya Misri.’”+ 1 Samweli 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Ninajuta+ kwamba nimemfanya Sauli kuwa mfalme, kwa sababu amegeuka+ asinifuate mimi, naye hakutenda maneno yangu.”+ Nalo jambo hilo likawa lenye kumtaabisha Samweli,+ akaendelea kumlilia Yehova usiku kucha.+
8 Wamegeuka kando haraka kutoka katika njia niliyowaamuru waende.+ Wamejifanyia sanamu ya kuyeyushwa ya ndama na wanaendelea kuiinamia na kuitolea dhabihu na kusema, ‘Huyu ndiye Mungu wako, Ee Israeli, aliyekuongoza kutoka nchi ya Misri.’”+
11 “Ninajuta+ kwamba nimemfanya Sauli kuwa mfalme, kwa sababu amegeuka+ asinifuate mimi, naye hakutenda maneno yangu.”+ Nalo jambo hilo likawa lenye kumtaabisha Samweli,+ akaendelea kumlilia Yehova usiku kucha.+