26 Lakini Samweli akamwambia Sauli: “Sitarudi pamoja nawe, kwa kuwa umelikataa neno la Yehova, naye Yehova amekukataa wewe usiendelee kuwa mfalme juu ya Israeli.”+
35 Na Samweli hakumwona Sauli tena mpaka siku ya kifo chake, kwa maana Samweli alikuwa akimwombolezea+ Sauli. Naye Yehova akajuta kwamba alikuwa amemfanya Sauli kuwa mfalme juu ya Israeli.+
8 na kwa kweli taifa lile ligeuke kutoka katika ubaya wake ambao nilisema juu yake,+ mimi pia nitajuta juu ya ule msiba niliokuwa nimefikiria kuutimiza juu yake.+