Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “Watu wako Israeli wakishindwa mbele ya adui,+ kwa sababu walizidi kukutendea dhambi,+ nao kwa kweli warudi kwako+ na kulisifu jina lako+ na kusali+ na kutoa ombi la kutaka kibali kwako katika nyumba hii,+

  • Yeremia 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Fanyeni njia zenu na matendo yenu kuwa mema, nami nitaendelea kuwakalisha mahali hapa.+

  • Ezekieli 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “ ‘Sasa kwa habari ya mwovu, ikiwa atageuka na kuziacha dhambi zake zote ambazo ametenda+ naye hakika ashike sheria zangu zote na kutenda haki na uadilifu,+ hakika yeye ataendelea kuishi. Hatakufa.+

  • Ezekieli 33:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Waambie, ‘ “Kama ninavyoishi,” asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, “Ninapendezwa, si na kifo cha mwovu,+ bali kwamba mtu mwovu ageuke na kuiacha+ njia yake na kwa kweli aendelee kuishi.+ Geukeni, geukeni mziache njia zenu mbaya,+ maana kwa nini mfe, Ee nyumba ya Israeli?” ’+

  • Yona 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao watu wa Ninawi wakaanza kumwamini Mungu,+ ndipo wakatangaza kufunga na kuvaa nguo za magunia,+ kutoka aliye mkubwa zaidi kati yao mpaka aliye mdogo zaidi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki