7 Mtu mwovu aiache njia yake,+ na mtu mwenye madhara ayaache mawazo yake;+ naye arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+ na kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.+
5 wao wakisema, ‘Tafadhali, geukeni kila mmoja kutoka katika njia yake mbaya na kutoka katika ubaya wa matendo yake,+ nanyi mwendelee kukaa juu ya nchi ambayo Yehova aliwapa ninyi na mababu zenu tangu zamani za kale na mpaka wakati mrefu ujao.+
6 “Kwa hiyo iambie nyumba ya Israeli, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Rudini, mgeuke na kuziacha sanamu zenu za mavi+ na mgeuze nyuso zenu kutoka kwa machukizo yenu yote;+