22 Nanyi mtakitia unajisi kifuniko cha sanamu zenu za kuchongwa za fedha+ na kifuniko kinachobana cha sanamu yenu ya kuyeyushwa+ ya dhahabu.+ Utazitawanya.+ Kama mwanamke mwenye hedhi, utaiambia hivi: “Uchafu mtupu!”+
27 matendo yako ya uzinzi+ na milio yako,+ mwenendo wako mpotovu katika ukahaba. Juu ya vilima, katika mashamba, nimeyaona machukizo yako.+ Ole wako, Ee Yerusalemu! Huwezi kuwa safi+—baada ya muda gani zaidi?”+