4 Kisha akaichukua dhahabu hiyo toka mikononi mwao, naye akaifanya+ kwa kifaa cha kuchongea na kuifanya kuwa sanamu ya kuyeyushwa ya ndama.+ Nao wakaanza kusema: “Huyu ndiye Mungu wako, Ee Israeli, aliyekuongoza kutoka nchi ya Misri.”+
3 Basi akamrudishia mama yake+ vile vipande elfu moja na mia moja vya fedha; naye mama yake akaendelea kusema: “Bila shaka nitazitakasa fedha hizi kwa Yehova kutoka mkononi mwangu kwa ajili ya mwanangu, ili kutengeneza sanamu ya kuchongwa+ na sanamu ya kuyeyushwa;+ na sasa nitairudisha kwako.”