28 Basi mfalme akafanya shauri,+ akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Ni vigumu mno kwenu kwenda Yerusalemu. Tazama, huyu ni Mungu wenu,+ enyi Israeli, aliyewatoa ninyi katika nchi ya Misri.”+
29 Ni dhambi tu za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, alizosababisha Israeli kutenda dhambi,+ ambazo Yehu hakugeuka asizifuate, yaani, wale ndama wa dhahabu+ ambao mmoja alikuwa katika Betheli na mwingine katika Dani.+
2 Na sasa wanafanya dhambi zaidi na kujifanyia sanamu ya kuyeyushwa kutoka kwenye fedha+ yao, sanamu kulingana na uelewaji wao wenyewe,+ yote hiyo ni kazi ya mafundi.+ Nao wanaziambia, ‘Acheni wanadamu wanaotoa dhabihu wabusu ndama.’+