1 Wafalme 14:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye atawatoa Israeli+ kwa sababu ya dhambi za Yeroboamu alizotenda na ambazo kupitia hizo alisababisha Israeli watende dhambi.”+ 2 Wafalme 14:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Naye akaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova. Hakuacha dhambi zote za Yeroboamu mwana wa Nebati, alizosababisha Israeli kutenda dhambi.+
16 Naye atawatoa Israeli+ kwa sababu ya dhambi za Yeroboamu alizotenda na ambazo kupitia hizo alisababisha Israeli watende dhambi.”+
24 Naye akaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova. Hakuacha dhambi zote za Yeroboamu mwana wa Nebati, alizosababisha Israeli kutenda dhambi.+