Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 14
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wafalme 14:1

Marejeo

  • +2Fa 13:10
  • +1Nya 3:12

2 Wafalme 14:2

Marejeo

  • +2Nya 25:1

2 Wafalme 14:3

Marejeo

  • +2Nya 25:2
  • +1Fa 15:5
  • +2Nya 24:2, 18; Zek 1:4

2 Wafalme 14:4

Marejeo

  • +1Fa 15:14; 2Fa 12:3
  • +2Fa 15:4, 35

2 Wafalme 14:5

Marejeo

  • +Mwa 9:6; Kut 21:12; Law 24:17; Hes 35:33
  • +2Fa 12:20; 2Nya 24:25; 25:3

2 Wafalme 14:6

Marejeo

  • +2Nya 25:4
  • +Kum 24:16; Eze 18:20

2 Wafalme 14:7

Marejeo

  • +2Fa 8:20; 2Nya 25:11
  • +2Sa 8:13; 1Nya 18:12; Zb 60:utangulizi

2 Wafalme 14:8

Marejeo

  • +2Sa 2:14; 2Nya 25:17; Met 13:10; 18:6

2 Wafalme 14:9

Marejeo

  • +Amu 9:15
  • +2Nya 25:18

2 Wafalme 14:10

Marejeo

  • +2Fa 14:7
  • +2Nya 26:16; Met 16:18; Hab 2:4; Gal 6:3; Yak 4:6
  • +1Sa 18:8
  • +2Nya 35:21; Met 3:30; 20:3
  • +Lu 14:31

2 Wafalme 14:11

Marejeo

  • +2Nya 25:16, 20
  • +2Nya 25:21
  • +Yos 15:10; 21:16; 1Sa 6:9; 1Nya 6:59

2 Wafalme 14:12

Marejeo

  • +2Nya 25:22; Met 16:18

2 Wafalme 14:13

Marejeo

  • +2Nya 25:23; Ne 8:16; 12:39
  • +Yer 31:38; Zek 14:10

2 Wafalme 14:14

Marejeo

  • +2Fa 12:13

2 Wafalme 14:15

Marejeo

  • +1Fa 14:19; 2Fa 13:12

2 Wafalme 14:16

Marejeo

  • +2Fa 10:35
  • +2Fa 13:9
  • +2Fa 13:13; Ho. 1:1; Amo 1:1; 7:10

2 Wafalme 14:17

Marejeo

  • +2Fa 14:1
  • +2Nya 25:25
  • +2Fa 13:10

2 Wafalme 14:18

Marejeo

  • +1Fa 14:29; 2Fa 12:19; 20:20
  • +2Nya 25:26

2 Wafalme 14:19

Marejeo

  • +2Fa 12:20
  • +Yos 10:31; Mik 1:13
  • +2Nya 25:27

2 Wafalme 14:20

Marejeo

  • +2Nya 25:28
  • +1Fa 2:10; 2Fa 12:21

2 Wafalme 14:21

Marejeo

  • +2Nya 26:1; Mt 1:8
  • +2Fa 15:2
  • +1Nya 3:12

2 Wafalme 14:22

Marejeo

  • +Kum 2:8; 1Fa 9:26; 2Fa 16:6; 2Nya 26:2

2 Wafalme 14:23

Marejeo

  • +Ho. 1:1; Amo 1:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 153

2 Wafalme 14:24

Marejeo

  • +1Fa 12:28; 13:34; Zb 106:20

2 Wafalme 14:25

Marejeo

  • +Hes 13:21; 34:8; Eze 47:16; Amo 6:14
  • +Mwa 14:3; Kum 3:17
  • +Yon 1:1; Mt 12:39
  • +Yos 19:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Igeni, kur. 108-109

    Mnara wa Mlinzi,

    1/1/2009, uku. 25

    “Kila Andiko,” uku. 153

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 1/1 25

2 Wafalme 14:26

Marejeo

  • +Kut 3:7; Amu 10:16; Zb 106:44
  • +1Fa 14:10; 21:21

2 Wafalme 14:27

Marejeo

  • +Kum 25:19; 29:20
  • +2Fa 13:5; Zb 86:15; Yer 31:20; Ho. 1:7

2 Wafalme 14:28

Marejeo

  • +2Sa 8:6
  • +2Nya 8:3

2 Wafalme 14:29

Marejeo

  • +2Fa 15:8

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Fal. 14:12Fa 13:10
2 Fal. 14:11Nya 3:12
2 Fal. 14:22Nya 25:1
2 Fal. 14:32Nya 25:2
2 Fal. 14:31Fa 15:5
2 Fal. 14:32Nya 24:2, 18; Zek 1:4
2 Fal. 14:41Fa 15:14; 2Fa 12:3
2 Fal. 14:42Fa 15:4, 35
2 Fal. 14:5Mwa 9:6; Kut 21:12; Law 24:17; Hes 35:33
2 Fal. 14:52Fa 12:20; 2Nya 24:25; 25:3
2 Fal. 14:62Nya 25:4
2 Fal. 14:6Kum 24:16; Eze 18:20
2 Fal. 14:72Fa 8:20; 2Nya 25:11
2 Fal. 14:72Sa 8:13; 1Nya 18:12; Zb 60:utangulizi
2 Fal. 14:82Sa 2:14; 2Nya 25:17; Met 13:10; 18:6
2 Fal. 14:9Amu 9:15
2 Fal. 14:92Nya 25:18
2 Fal. 14:102Fa 14:7
2 Fal. 14:102Nya 26:16; Met 16:18; Hab 2:4; Gal 6:3; Yak 4:6
2 Fal. 14:101Sa 18:8
2 Fal. 14:102Nya 35:21; Met 3:30; 20:3
2 Fal. 14:10Lu 14:31
2 Fal. 14:112Nya 25:16, 20
2 Fal. 14:112Nya 25:21
2 Fal. 14:11Yos 15:10; 21:16; 1Sa 6:9; 1Nya 6:59
2 Fal. 14:122Nya 25:22; Met 16:18
2 Fal. 14:132Nya 25:23; Ne 8:16; 12:39
2 Fal. 14:13Yer 31:38; Zek 14:10
2 Fal. 14:142Fa 12:13
2 Fal. 14:151Fa 14:19; 2Fa 13:12
2 Fal. 14:162Fa 10:35
2 Fal. 14:162Fa 13:9
2 Fal. 14:162Fa 13:13; Ho. 1:1; Amo 1:1; 7:10
2 Fal. 14:172Fa 14:1
2 Fal. 14:172Nya 25:25
2 Fal. 14:172Fa 13:10
2 Fal. 14:181Fa 14:29; 2Fa 12:19; 20:20
2 Fal. 14:182Nya 25:26
2 Fal. 14:192Fa 12:20
2 Fal. 14:19Yos 10:31; Mik 1:13
2 Fal. 14:192Nya 25:27
2 Fal. 14:202Nya 25:28
2 Fal. 14:201Fa 2:10; 2Fa 12:21
2 Fal. 14:212Nya 26:1; Mt 1:8
2 Fal. 14:212Fa 15:2
2 Fal. 14:211Nya 3:12
2 Fal. 14:22Kum 2:8; 1Fa 9:26; 2Fa 16:6; 2Nya 26:2
2 Fal. 14:23Ho. 1:1; Amo 1:1
2 Fal. 14:241Fa 12:28; 13:34; Zb 106:20
2 Fal. 14:25Hes 13:21; 34:8; Eze 47:16; Amo 6:14
2 Fal. 14:25Mwa 14:3; Kum 3:17
2 Fal. 14:25Yon 1:1; Mt 12:39
2 Fal. 14:25Yos 19:13
2 Fal. 14:26Kut 3:7; Amu 10:16; Zb 106:44
2 Fal. 14:261Fa 14:10; 21:21
2 Fal. 14:27Kum 25:19; 29:20
2 Fal. 14:272Fa 13:5; Zb 86:15; Yer 31:20; Ho. 1:7
2 Fal. 14:282Sa 8:6
2 Fal. 14:282Nya 8:3
2 Fal. 14:292Fa 15:8
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wafalme 14:1-29

2 Wafalme

14 Katika mwaka wa pili wa Yehoashi+ mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli, Amazia+ mwana wa Yehoashi mfalme wa Yuda, akawa mfalme. 2 Alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 29 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Yehoadini+ wa Yerusalemu. 3 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa manyoofu machoni pa Yehova,+ ila tu si kama Daudi babu yake.+ Akafanya kulingana na yote ambayo Yehoashi baba yake alifanya.+ 4 Ni mahali pa juu peke yake ndipo hapakuondolewa.+ Watu walikuwa bado wanatoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu.+ 5 Na ikawa kwamba mara tu ufalme ulipokuwa umeimarishwa mkononi mwake, akaanza kuwapiga na kuwaua+ wale watumishi wake waliompiga na kumuua mfalme, baba yake.+ 6 Naye hakuwaua wana wa wale waliompiga na kumuua, kulingana na yale ambayo yameandikwa katika kitabu cha sheria ya Musa ambayo Yehova aliamuru, akisema:+ “Akina baba wasiuawe kwa sababu ya wana, na wana wasiuawe kwa sababu ya akina baba; bali kila mmoja auawe kwa sababu ya dhambi yake mwenyewe.”+ 7 Yeye aliwapiga na kuwaua Waedomu+ katika Bonde la Chumvi,+ watu elfu kumi, akateka Sela katika vita hivyo, na jina lake likaitwa Yoktheeli mpaka leo hii.

8 Kisha wakati huo Amazia aliwatuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu mfalme wa Israeli, na kusema: “Haya njoo. Tutazamane uso kwa uso.”+ 9 Ndipo Yehoashi mfalme wa Israeli akatuma ujumbe kwa Amazia mfalme wa Yuda, na kusema: “Gugu lenye miiba lililokuwa katika Lebanoni lilituma ujumbe kwa mwerezi+ uliokuwa katika Lebanoni, na kusema, ‘Mpe mwanangu binti yako awe mke wake.’ Hata hivyo, mnyama wa mwituni aliyekuwa katika Lebanoni akapita karibu, akalikanyaga lile gugu lenye miiba.+ 10 Bila shaka umepiga+ Edomu, na moyo wako umekuinua.+ Furahia heshima+ yako na ukae nyumbani kwako mwenyewe. Kwa nini, basi, ujiingize katika mzozo+ chini ya hali zisizofaa+ hata uanguke, wewe na Yuda pamoja nawe?” 11 Na Amazia hakusikiliza.+

Basi Yehoashi mfalme wa Israeli akapanda, nao wakatazamana uso kwa uso,+ yeye na Amazia mfalme wa Yuda, kule Beth-shemeshi,+ ya Yuda. 12 Na Yuda wakashindwa mbele ya Israeli,+ hata wakaanza kukimbia, kila mmoja kwenda katika hema lake. 13 Naye Yehoashi mfalme wa Israeli akamkamata Amazia mfalme wa Yuda mwana wa Yehoashi mwana wa Ahazia kule Beth-shemeshi, kisha wakaja Yerusalemu, naye akabomoa shimo katika ukuta wa Yerusalemu katika Lango la Efraimu+ mpaka kwenye Lango la Pembeni,+ urefu wa mikono mia nne. 14 Naye akachukua dhahabu yote na fedha na vyombo vyote vilivyopatikana katika nyumba ya Yehova+ na katika hazina za nyumba ya mfalme na mateka, kisha akarudi Samaria.

15 Na mambo mengine ya Yehoashi, yale aliyoyafanya na uwezo wake na jinsi alivyopigana na Amazia mfalme wa Yuda, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli? 16 Mwishowe Yehoashi akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa katika Samaria+ pamoja na wafalme wa Israeli, na Yeroboamu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

17 Na Amazia+ mwana wa Yehoashi mfalme wa Yuda akaendelea kuishi kwa miaka kumi na mitano+ baada ya kifo cha Yehoashi+ mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli. 18 Na mambo mengine ya Amazia, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda?+ 19 Baadaye wakaungana katika hila+ juu yake katika Yerusalemu, naye akakimbilia Lakishi;+ lakini wakatuma watu kumfuatilia huko Lakishi, wakamuua huko.+ 20 Kwa hiyo wakambeba juu ya farasi, naye akazikwa+ katika Yerusalemu pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi.+ 21 Ndipo watu wote wa Yuda wakamchukua Azaria,+ wakati huo akiwa na umri wa miaka kumi na sita,+ nao wakamfanya kuwa mfalme mahali pa Amazia+ baba yake. 22 Yeye alijenga Elathi+ na kulirudisha kwa Yuda baada ya mfalme kulala pamoja na mababu zake.

23 Katika mwaka wa 15 wa Amazia mwana wa Yehoashi mfalme wa Yuda, Yeroboamu+ mwana wa Yehoashi mfalme wa Israeli akawa mfalme katika Samaria kwa miaka 41. 24 Naye akaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova. Hakuacha dhambi zote za Yeroboamu mwana wa Nebati, alizosababisha Israeli kutenda dhambi.+ 25 Yeye ndiye aliyerudisha mpaka wa Israeli kutoka mwingilio wa Hamathi+ hadi kwenye bahari ya Araba,+ kulingana na neno la Yehova, Mungu wa Israeli, aliyesema kupitia Yona+ mtumishi wake, mwana wa Amitai, nabii aliyetoka Gath-heferi.+ 26 Kwa maana Yehova alikuwa ameyaona mateso machungu sana ya Israeli.+ Hapakuwa na yeyote asiye na uwezo wala yeyote asiye na thamani, wala hapakuwa na msaidizi kwa ajili ya Israeli.+ 27 Na Yehova alikuwa ameahidi kwamba hatafutilia mbali jina la Israeli kutoka chini ya mbingu.+ Basi akawaokoa+ kupitia mkono wa Yeroboamu mwana wa Yehoashi.

28 Kwa habari ya mambo mengine ya Yeroboamu na yote ambayo aliyafanya na uwezo wake, jinsi alivyopigana na jinsi alivyorudisha Damasko+ na Hamathi+ kwa Yuda katika Israeli, je, hayakuandikwa katika kitabu cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli? 29 Mwishowe Yeroboamu akalala pamoja na mababu zake, pamoja na wafalme wa Israeli, na Zekaria+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki