Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi tukapita mbali na ndugu zetu, wana wa Esau,+ wanaokaa Seiri, kutoka njia ya Araba,+ kutoka Elathi na kutoka Esion-geberi.+

      “Kisha tukageuka na kupitia njia ya nyika ya Moabu.+

  • 1 Wafalme 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na palikuwa na kundi la meli ambazo Mfalme Sulemani aliunda katika Esion-geberi,+ lililoko kando ya Elothi,+ kando ya Bahari Nyekundu katika nchi ya Edomu.+

  • 2 Wafalme 16:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo Resini mfalme wa Siria akarudisha Elathi+ kwa Edomu, kisha akawaondoa Wayahudi kutoka Elathi; nao Waedomu wakaingia katika Elathi, wakaendelea kukaa humo mpaka leo hii.

  • 2 Mambo ya Nyakati 26:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yeye ndiye aliyejenga upya Elothi+ kisha akalirudisha kwa Yuda baada ya mfalme kulala pamoja na mababu zake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki