Hesabu 33:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Halafu wakaondoka Abrona, wakapiga kambi Esion-geberi.+ Kumbukumbu la Torati 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi tukapita mbali na ndugu zetu, wana wa Esau,+ wanaokaa Seiri, kutoka njia ya Araba,+ kutoka Elathi na kutoka Esion-geberi.+ “Kisha tukageuka na kupitia njia ya nyika ya Moabu.+ 1 Wafalme 22:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Naye Yehoshafati akajenga meli za Tarshishi+ ziende Ofiri kuchukua dhahabu; lakini hazikuenda, kwa sababu meli hizo zilivunjika huko Esion-geberi.+
8 Basi tukapita mbali na ndugu zetu, wana wa Esau,+ wanaokaa Seiri, kutoka njia ya Araba,+ kutoka Elathi na kutoka Esion-geberi.+ “Kisha tukageuka na kupitia njia ya nyika ya Moabu.+
48 Naye Yehoshafati akajenga meli za Tarshishi+ ziende Ofiri kuchukua dhahabu; lakini hazikuenda, kwa sababu meli hizo zilivunjika huko Esion-geberi.+