13 Kutoka huko wakasafiri na kupiga kambi katika eneo la Arnoni,+ lililo katika nyika inayosambaa kutoka katika mpaka wa Waamori; kwa maana Arnoni ni mpaka wa Moabu, kati ya Moabu na Waamori.
17 Ndipo Israeli wakatuma wajumbe kwa mfalme wa Edomu,+ wakisema: “Tafadhali, niache nipite katika nchi yako,” naye mfalme wa Edomu hakusikiliza. Pia wakatuma wajumbe kwa mfalme wa Moabu,+ naye hakukubali. Basi Israeli wakaendelea kukaa katika Kadeshi.+
10 Na sasa, tazama, wana wa Amoni,+ na Moabu+ na eneo lenye milima la Seiri,+ ambao hukuruhusu Israeli wawavamie walipokuwa wakitoka katika nchi ya Misri, bali waligeukia mbali kutoka kwao wala hawakuwaangamiza,+