Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 21:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kutoka huko wakasafiri na kupiga kambi katika eneo la Arnoni,+ lililo katika nyika inayosambaa kutoka katika mpaka wa Waamori; kwa maana Arnoni ni mpaka wa Moabu, kati ya Moabu na Waamori.

  • Waamuzi 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ndipo Israeli wakatuma wajumbe kwa mfalme wa Edomu,+ wakisema: “Tafadhali, niache nipite katika nchi yako,” naye mfalme wa Edomu hakusikiliza. Pia wakatuma wajumbe kwa mfalme wa Moabu,+ naye hakukubali. Basi Israeli wakaendelea kukaa katika Kadeshi.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na sasa, tazama, wana wa Amoni,+ na Moabu+ na eneo lenye milima la Seiri,+ ambao hukuruhusu Israeli wawavamie walipokuwa wakitoka katika nchi ya Misri, bali waligeukia mbali kutoka kwao wala hawakuwaangamiza,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki