Kumbukumbu la Torati 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi tukapita mbali na ndugu zetu, wana wa Esau,+ wanaokaa Seiri, kutoka njia ya Araba,+ kutoka Elathi na kutoka Esion-geberi.+ “Kisha tukageuka na kupitia njia ya nyika ya Moabu.+ 1 Wafalme 9:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na palikuwa na kundi la meli ambazo Mfalme Sulemani aliunda katika Esion-geberi,+ lililoko kando ya Elothi,+ kando ya Bahari Nyekundu katika nchi ya Edomu.+ 2 Mambo ya Nyakati 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wakati huo ndipo Sulemani alipoenda Esion-geberi+ na Elothi+ kando ya bahari katika nchi ya Edomu.+
8 Basi tukapita mbali na ndugu zetu, wana wa Esau,+ wanaokaa Seiri, kutoka njia ya Araba,+ kutoka Elathi na kutoka Esion-geberi.+ “Kisha tukageuka na kupitia njia ya nyika ya Moabu.+
26 Na palikuwa na kundi la meli ambazo Mfalme Sulemani aliunda katika Esion-geberi,+ lililoko kando ya Elothi,+ kando ya Bahari Nyekundu katika nchi ya Edomu.+
17 Wakati huo ndipo Sulemani alipoenda Esion-geberi+ na Elothi+ kando ya bahari katika nchi ya Edomu.+