Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi tukapita mbali na ndugu zetu, wana wa Esau,+ wanaokaa Seiri, kutoka njia ya Araba,+ kutoka Elathi na kutoka Esion-geberi.+

      “Kisha tukageuka na kupitia njia ya nyika ya Moabu.+

  • 1 Wafalme 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na palikuwa na kundi la meli ambazo Mfalme Sulemani aliunda katika Esion-geberi,+ lililoko kando ya Elothi,+ kando ya Bahari Nyekundu katika nchi ya Edomu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wakati huo ndipo Sulemani alipoenda Esion-geberi+ na Elothi+ kando ya bahari katika nchi ya Edomu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki