Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 8
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 8:1

Marejeo

  • +1Fa 9:10
  • +1Fa 6:37, 38
  • +1Fa 7:1

2 Mambo ya Nyakati 8:2

Marejeo

  • +2Sa 5:11; 1Fa 5:2

2 Mambo ya Nyakati 8:4

Marejeo

  • +1Fa 9:19
  • +2Sa 8:9; 2Fa 14:28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/1999, uku. 28

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 1/15 28

2 Mambo ya Nyakati 8:5

Marejeo

  • +Yos 16:5; 1Nya 7:24
  • +Yos 16:3; 1Fa 9:17
  • +Hes 32:17; Kum 28:52; 2Fa 10:2; 2Nya 12:4
  • +Kum 3:5

2 Mambo ya Nyakati 8:6

Marejeo

  • +Yos 19:44; 1Fa 9:18
  • +1Fa 4:26
  • +1Fa 9:19
  • +Mhu 2:10
  • +Amu 3:3; 1Fa 9:19

2 Mambo ya Nyakati 8:7

Marejeo

  • +Mwa 15:20; Kum 7:1; 1Fa 11:1; 2Fa 7:6
  • +Mwa 15:21
  • +Kut 34:11
  • +Kut 23:23
  • +Hes 13:29
  • +1Fa 9:20

2 Mambo ya Nyakati 8:8

Marejeo

  • +Yos 15:63; 17:12; Zb 106:34
  • +1Fa 9:21
  • +Yos 16:10; 2Nya 2:17

2 Mambo ya Nyakati 8:9

Marejeo

  • +Kut 19:6; Law 25:39
  • +1Sa 8:12
  • +1Sa 8:11
  • +1Fa 9:22

2 Mambo ya Nyakati 8:10

Marejeo

  • +1Fa 5:16
  • +1Fa 9:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    12/1/2005, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 12/1 19

2 Mambo ya Nyakati 8:11

Marejeo

  • +1Fa 3:1
  • +1Fa 9:24
  • +1Fa 7:8
  • +Kut 29:43

2 Mambo ya Nyakati 8:12

Marejeo

  • +Law 1:3
  • +2Nya 4:1
  • +1Fa 6:3; Eze 8:16

2 Mambo ya Nyakati 8:13

Marejeo

  • +Kut 29:38; Hes 28:3
  • +Hes 28:9
  • +Hes 10:10; 28:11
  • +Kut 23:14; Law 23:4
  • +Kum 16:16
  • +Law 23:6
  • +Law 23:16; Mdo 2:1
  • +Law 23:34

2 Mambo ya Nyakati 8:14

Marejeo

  • +1Nya 24:1; 2Nya 5:11; Lu 1:5
  • +1Nya 23:3
  • +1Nya 15:16; 25:1
  • +1Nya 6:31; 16:42
  • +1Nya 16:4; 24:31
  • +2Nya 35:10
  • +1Nya 9:17; 26:1

2 Mambo ya Nyakati 8:15

Marejeo

  • +1Nya 9:29; 26:20

2 Mambo ya Nyakati 8:16

Marejeo

  • +1Fa 5:18
  • +1Fa 6:1, 7
  • +1Fa 7:51

2 Mambo ya Nyakati 8:17

Marejeo

  • +Hes 33:35; 1Fa 22:48; 2Nya 20:36
  • +Kum 2:8; 2Fa 14:22; 16:6
  • +Mwa 36:1; 1Fa 9:26

2 Mambo ya Nyakati 8:18

Marejeo

  • +2Sa 5:11
  • +1Fa 9:27
  • +1Fa 22:48; Zb 45:9
  • +Kut 38:24
  • +1Fa 10:22; 2Nya 9:13
  • +Mhu 2:8

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 8:11Fa 9:10
2 Nya. 8:11Fa 6:37, 38
2 Nya. 8:11Fa 7:1
2 Nya. 8:22Sa 5:11; 1Fa 5:2
2 Nya. 8:41Fa 9:19
2 Nya. 8:42Sa 8:9; 2Fa 14:28
2 Nya. 8:5Yos 16:5; 1Nya 7:24
2 Nya. 8:5Yos 16:3; 1Fa 9:17
2 Nya. 8:5Hes 32:17; Kum 28:52; 2Fa 10:2; 2Nya 12:4
2 Nya. 8:5Kum 3:5
2 Nya. 8:6Yos 19:44; 1Fa 9:18
2 Nya. 8:61Fa 4:26
2 Nya. 8:61Fa 9:19
2 Nya. 8:6Mhu 2:10
2 Nya. 8:6Amu 3:3; 1Fa 9:19
2 Nya. 8:7Mwa 15:20; Kum 7:1; 1Fa 11:1; 2Fa 7:6
2 Nya. 8:7Mwa 15:21
2 Nya. 8:7Kut 34:11
2 Nya. 8:7Kut 23:23
2 Nya. 8:7Hes 13:29
2 Nya. 8:71Fa 9:20
2 Nya. 8:8Yos 15:63; 17:12; Zb 106:34
2 Nya. 8:81Fa 9:21
2 Nya. 8:8Yos 16:10; 2Nya 2:17
2 Nya. 8:9Kut 19:6; Law 25:39
2 Nya. 8:91Sa 8:12
2 Nya. 8:91Sa 8:11
2 Nya. 8:91Fa 9:22
2 Nya. 8:101Fa 5:16
2 Nya. 8:101Fa 9:23
2 Nya. 8:111Fa 3:1
2 Nya. 8:111Fa 9:24
2 Nya. 8:111Fa 7:8
2 Nya. 8:11Kut 29:43
2 Nya. 8:12Law 1:3
2 Nya. 8:122Nya 4:1
2 Nya. 8:121Fa 6:3; Eze 8:16
2 Nya. 8:13Kut 29:38; Hes 28:3
2 Nya. 8:13Hes 28:9
2 Nya. 8:13Hes 10:10; 28:11
2 Nya. 8:13Kut 23:14; Law 23:4
2 Nya. 8:13Kum 16:16
2 Nya. 8:13Law 23:6
2 Nya. 8:13Law 23:16; Mdo 2:1
2 Nya. 8:13Law 23:34
2 Nya. 8:141Nya 24:1; 2Nya 5:11; Lu 1:5
2 Nya. 8:141Nya 23:3
2 Nya. 8:141Nya 15:16; 25:1
2 Nya. 8:141Nya 6:31; 16:42
2 Nya. 8:141Nya 16:4; 24:31
2 Nya. 8:142Nya 35:10
2 Nya. 8:141Nya 9:17; 26:1
2 Nya. 8:151Nya 9:29; 26:20
2 Nya. 8:161Fa 5:18
2 Nya. 8:161Fa 6:1, 7
2 Nya. 8:161Fa 7:51
2 Nya. 8:17Hes 33:35; 1Fa 22:48; 2Nya 20:36
2 Nya. 8:17Kum 2:8; 2Fa 14:22; 16:6
2 Nya. 8:17Mwa 36:1; 1Fa 9:26
2 Nya. 8:182Sa 5:11
2 Nya. 8:181Fa 9:27
2 Nya. 8:181Fa 22:48; Zb 45:9
2 Nya. 8:18Kut 38:24
2 Nya. 8:181Fa 10:22; 2Nya 9:13
2 Nya. 8:18Mhu 2:8
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 8:1-18

2 Mambo ya Nyakati

8 Na ikawa kwamba mwishoni mwa miaka 20,+ muda ambao Sulemani alitumia kujenga ile nyumba ya Yehova+ na nyumba yake mwenyewe,+ 2 yale majiji ambayo Hiramu+ alikuwa amempa Sulemani—Sulemani aliyajenga upya na kuwakalisha humo wana wa Israeli. 3 Na zaidi ya hayo, Sulemani akaenda Hamath-soba na kulishinda. 4 Ndipo akajenga upya Tadmori katika nyika na majiji yote yenye maghala+ aliyokuwa amejenga katika Hamathi.+ 5 Naye akajenga Beth-horoni ya Juu+ na Beth-horoni ya Chini,+ majiji yenye ngome yaliyo na kuta,+ milango na mapingo,+ 6 na Baalathi+ na majiji yote yenye maghala yaliyokuwa yamekuwa ya Sulemani na majiji yote ya magari+ na majiji ya wapanda-farasi+ na kila kitu chenye kutamanika cha Sulemani+ ambacho alikuwa ametamani kukijenga katika Yerusalemu na katika Lebanoni+ na katika nchi yote ya mamlaka yake.

7 Na watu wote waliokuwa wameachwa wa Wahiti+ na Waamori+ na Waperizi+ na Wahivi+ na Wayebusi,+ ambao hawakuwa sehemu ya Israeli,+ 8 kutoka kwa wana wao waliokuwa wameachwa baada yao katika nchi, ambao wana wa Israeli hawakuwaangamiza,+ Sulemani akaendelea kuwaandikisha+ kwa ajili ya kazi ya kulazimishwa mpaka leo hii.+ 9 Lakini Sulemani hakumfanya yeyote kati ya wana wa Israeli kuwa mtumwa kwa ajili ya kazi yake;+ kwa maana hao walikuwa mashujaa wa vita+ na wakuu wa maamiri wake wasaidizi na wakuu wa waendesha-magari+ wake na wakuu wa wapanda-farasi+ wake. 10 Hawa ndio waliokuwa wakuu wa wasaidizi+ wa Mfalme Sulemani, watu 250, wasimamizi wa kazi juu ya watu.+

11 Na Sulemani akamtoa binti ya Farao+ katika Jiji la Daudi,+ akampeleka katika nyumba aliyokuwa amemjengea,+ kwa maana alisema: “Ingawa yeye ni mke wangu, asikae katika nyumba ya Daudi mfalme wa Israeli, kwa maana mahali ambapo sanduku la Yehova limeletwa ni patakatifu.”+

12 Ndipo wakati huo Sulemani akamtolea Yehova dhabihu+ za kuteketezwa juu ya ile madhabahu+ ya Yehova ambayo alikuwa amejenga mbele ya ukumbi,+ 13 kama desturi ya kila siku+ ili kutoa matoleo kulingana na amri ya Musa kwa ajili ya sabato+ na kwa ajili ya miezi mipya+ na kwa ajili ya sherehe rasmi+ mara tatu kwa mwaka,+ kwenye sherehe ya keki zisizo na chachu+ na kwenye sherehe ya majuma+ na kwenye sherehe ya vibanda.+ 14 Tena akaweka ile migawanyo+ ya makuhani juu ya utumishi wao kulingana na kanuni ya Daudi baba yake,+ na Walawi+ katika vituo vyao vya kazi, ili kusifu+ na kuhudumu+ mbele ya makuhani kama desturi ya kila siku,+ na watunza-malango katika migawanyo yao kwa ajili ya malango mbalimbali,+ kwa maana hivyo ndivyo ilivyokuwa amri ya Daudi mtu wa Mungu wa kweli. 15 Nao hawakuiacha amri ya mfalme kwa makuhani na Walawi kuhusu jambo lolote na kuhusu akiba ya mali.+ 16 Basi kazi yote ya Sulemani ilikuwa katika hali iliyotayarishwa+ kuanzia siku ya kuweka msingi wa nyumba ya Yehova mpaka ilipomalizika.+ Basi nyumba ya Yehova ikamalizika.+

17 Wakati huo ndipo Sulemani alipoenda Esion-geberi+ na Elothi+ kando ya bahari katika nchi ya Edomu.+ 18 Naye Hiramu+ kupitia watumishi wake akampelekea kwa ukawaida meli na watumishi wenye ujuzi wa bahari,+ nao wakawa wakienda Ofiri+ pamoja na watumishi wa Sulemani na kuchukua kutoka huko talanta 450+ za dhahabu,+ wakamletea Mfalme Sulemani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki