1 Wafalme 22:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Naye Yehoshafati akajenga meli za Tarshishi+ ziende Ofiri kuchukua dhahabu; lakini hazikuenda, kwa sababu meli hizo zilivunjika huko Esion-geberi.+ Zaburi 45:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Binti+ za wafalme wamo kati ya wanawake wako wenye thamani.Malkia+ amesimama kwenye mkono wako wa kuume akiwa amevaa dhahabu ya Ofiri.+
48 Naye Yehoshafati akajenga meli za Tarshishi+ ziende Ofiri kuchukua dhahabu; lakini hazikuenda, kwa sababu meli hizo zilivunjika huko Esion-geberi.+
9 Binti+ za wafalme wamo kati ya wanawake wako wenye thamani.Malkia+ amesimama kwenye mkono wako wa kuume akiwa amevaa dhahabu ya Ofiri.+