26 Na palikuwa na kundi la meli ambazo Mfalme Sulemani aliunda katika Esion-geberi,+ lililoko kando ya Elothi,+ kando ya Bahari Nyekundu katika nchi ya Edomu.+
37 Hata hivyo, Eliezeri mwana wa Dodavahu wa Maresha akatoa unabii juu ya Yehoshafati, akisema: “Kwa sababu umefanya ushirika na Ahazia,+ hakika Yehova atazivunja kazi zako.”+ Basi zile meli zikavunjwa,+ nazo hazikuwa na nguvu za kwenda Tarshishi.+