11 Pia, Sulemani alimtoa binti ya Farao+ kutoka katika Jiji la Daudi na kumpeleka katika nyumba aliyokuwa amemjengea,+ kwa maana alisema: “Ingawa ni mke wangu, hapaswi kukaa katika nyumba ya Mfalme Daudi wa Israeli, kwa sababu sehemu ambazo Sanduku la Yehova limeletwa ni takatifu.”+