10 Nao hawakuwafukuza Wakanaani+ waliokuwa wakikaa katika Gezeri,+ na Wakanaani hao huendelea kukaa katikati ya Efraimu mpaka leo hii,+ nao wakawa watumishi wa kazi ya kulazimishwa.+
17 Ndipo Sulemani akawahesabu watu wote waliokuwa wakaaji wageni, waliokuwa katika nchi ya Israeli,+ baada ya ile hesabu ya watu ambayo Daudi alikuwa amechukua;+ kukapatikana watu 153,600.