Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 2
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 2:1

Marejeo

  • +1Fa 5:5
  • +Kum 12:11; 1Nya 22:10
  • +1Fa 7:1

2 Mambo ya Nyakati 2:2

Marejeo

  • +1Fa 5:15
  • +1Fa 5:16; 9:22; 2Nya 2:18

2 Mambo ya Nyakati 2:3

Marejeo

  • +1Fa 5:1
  • +2Sa 5:11; 1Nya 14:1

2 Mambo ya Nyakati 2:4

Marejeo

  • +1Fa 8:19
  • +2Nya 6:33
  • +1Fa 8:64
  • +Kut 30:7
  • +Kut 25:30; Law 24:8; Mt 12:4
  • +Hes 28:4
  • +Kut 20:10; Hes 28:9
  • +Hes 10:10; 28:11
  • +Law 23:4; 1Nya 23:31
  • +Law 23:14, 41

2 Mambo ya Nyakati 2:5

Marejeo

  • +1Nya 29:1; Zb 68:29
  • +Kut 15:11; Zb 86:8; 95:3; 135:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 4

2 Mambo ya Nyakati 2:6

Marejeo

  • +Isa 66:1
  • +1Fa 8:27; Mdo 17:24
  • +2Sa 7:18; 1Nya 29:14
  • +Kum 12:6

2 Mambo ya Nyakati 2:7

Marejeo

  • +Kut 31:3; 1Fa 7:14
  • +1Nya 22:15

2 Mambo ya Nyakati 2:8

Marejeo

  • +1Fa 5:6
  • +1Fa 5:8; 2Nya 3:5
  • +1Fa 10:11
  • +1Fa 5:14
  • +1Fa 5:9

2 Mambo ya Nyakati 2:10

Marejeo

  • +1Fa 5:11
  • +Ezr 7:22

2 Mambo ya Nyakati 2:11

Marejeo

  • +1Fa 5:1; 9:11; 1Nya 14:1
  • +Kum 7:8; 33:3
  • +1Fa 10:9

2 Mambo ya Nyakati 2:12

Marejeo

  • +1Fa 5:7; Zb 72:18
  • +Mwa 1:1; Zb 33:6; Mdo 17:24; Ufu 4:11; 10:6
  • +2Nya 1:12
  • +2Nya 2:1

2 Mambo ya Nyakati 2:13

Marejeo

  • +1Fa 7:13, 40; 2Nya 4:11, 16; Met 22:29

2 Mambo ya Nyakati 2:14

Marejeo

  • +1Fa 7:14
  • +Kut 31:5
  • +Kut 39:1
  • +Kut 39:2
  • +Kut 39:5
  • +2Nya 3:14
  • +Kut 39:6
  • +Kut 31:4; 35:32

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    12/1/2005, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 12/1 19

2 Mambo ya Nyakati 2:15

Marejeo

  • +2Nya 2:10

2 Mambo ya Nyakati 2:16

Marejeo

  • +1Fa 5:6
  • +1Fa 5:8
  • +1Fa 5:9
  • +Yos 19:46; Ezr 3:7; Mdo 9:36

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/1/1989, uku. 16

2 Mambo ya Nyakati 2:17

Marejeo

  • +1Fa 5:13, 14; 2Nya 8:8
  • +1Nya 22:2

2 Mambo ya Nyakati 2:18

Marejeo

  • +1Fa 5:15
  • +1Fa 5:17, 18; 1Nya 22:15
  • +1Fa 5:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    12/1/2005, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 12/1 19

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 2:11Fa 5:5
2 Nya. 2:1Kum 12:11; 1Nya 22:10
2 Nya. 2:11Fa 7:1
2 Nya. 2:21Fa 5:15
2 Nya. 2:21Fa 5:16; 9:22; 2Nya 2:18
2 Nya. 2:31Fa 5:1
2 Nya. 2:32Sa 5:11; 1Nya 14:1
2 Nya. 2:41Fa 8:19
2 Nya. 2:42Nya 6:33
2 Nya. 2:41Fa 8:64
2 Nya. 2:4Kut 30:7
2 Nya. 2:4Kut 25:30; Law 24:8; Mt 12:4
2 Nya. 2:4Hes 28:4
2 Nya. 2:4Kut 20:10; Hes 28:9
2 Nya. 2:4Hes 10:10; 28:11
2 Nya. 2:4Law 23:4; 1Nya 23:31
2 Nya. 2:4Law 23:14, 41
2 Nya. 2:51Nya 29:1; Zb 68:29
2 Nya. 2:5Kut 15:11; Zb 86:8; 95:3; 135:5
2 Nya. 2:6Isa 66:1
2 Nya. 2:61Fa 8:27; Mdo 17:24
2 Nya. 2:62Sa 7:18; 1Nya 29:14
2 Nya. 2:6Kum 12:6
2 Nya. 2:7Kut 31:3; 1Fa 7:14
2 Nya. 2:71Nya 22:15
2 Nya. 2:81Fa 5:6
2 Nya. 2:81Fa 5:8; 2Nya 3:5
2 Nya. 2:81Fa 10:11
2 Nya. 2:81Fa 5:14
2 Nya. 2:81Fa 5:9
2 Nya. 2:101Fa 5:11
2 Nya. 2:10Ezr 7:22
2 Nya. 2:111Fa 5:1; 9:11; 1Nya 14:1
2 Nya. 2:11Kum 7:8; 33:3
2 Nya. 2:111Fa 10:9
2 Nya. 2:121Fa 5:7; Zb 72:18
2 Nya. 2:12Mwa 1:1; Zb 33:6; Mdo 17:24; Ufu 4:11; 10:6
2 Nya. 2:122Nya 1:12
2 Nya. 2:122Nya 2:1
2 Nya. 2:131Fa 7:13, 40; 2Nya 4:11, 16; Met 22:29
2 Nya. 2:141Fa 7:14
2 Nya. 2:14Kut 31:5
2 Nya. 2:14Kut 39:1
2 Nya. 2:14Kut 39:2
2 Nya. 2:14Kut 39:5
2 Nya. 2:142Nya 3:14
2 Nya. 2:14Kut 39:6
2 Nya. 2:14Kut 31:4; 35:32
2 Nya. 2:152Nya 2:10
2 Nya. 2:161Fa 5:6
2 Nya. 2:161Fa 5:8
2 Nya. 2:161Fa 5:9
2 Nya. 2:16Yos 19:46; Ezr 3:7; Mdo 9:36
2 Nya. 2:171Fa 5:13, 14; 2Nya 8:8
2 Nya. 2:171Nya 22:2
2 Nya. 2:181Fa 5:15
2 Nya. 2:181Fa 5:17, 18; 1Nya 22:15
2 Nya. 2:181Fa 5:16
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 2:1-18

2 Mambo ya Nyakati

2 Basi Sulemani akatoa amri kwamba nyumba+ ijengwe kwa ajili ya jina la Yehova+ na nyumba kwa ajili ya ufalme wake.+ 2 Na Sulemani akahesabu watu 70,000 wawe wabeba-mizigo na 80,000 wawe wachongaji wa mawe mlimani,+ na 3,600 wawe waangalizi juu yao.+ 3 Tena Sulemani akatuma watu kwa Hiramu+ mfalme wa Tiro, akisema: “Kama ulivyomtendea Daudi+ baba yangu, ulivyokuwa ukimletea mierezi ili ajijengee nyumba ya kukaa,— 4 tazama, ninajenga+ nyumba kwa ajili ya jina+ la Yehova Mungu wangu, ili niitakase+ kwake, ili kufukiza mbele zake uvumba uliotiwa manukato,+ pamoja na mkate+ wa tabaka wa daima na matoleo ya kuteketezwa wakati wa asubuhi na jioni,+ wakati wa sabato+ na wakati wa miezi mipya+ na kwenye majira ya sherehe+ ya Yehova Mungu wetu. Hayo yatakuwa juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo.+ 5 Na nyumba nitakayoijenga itakuwa kuu,+ kwa maana Mungu wetu ni mkuu kuliko miungu mingine yote.+ 6 Na ni nani angeweza kuwa na nguvu za kumjengea nyumba?+ Kwa maana mbingu na mbingu za mbingu hazimtoshi,+ na mimi ni nani+ kwamba nimjengee nyumba isipokuwa tu iwe ya kufukizia moshi wa uvumba mbele zake?+ 7 Na sasa niletee mwanamume mwenye ujuzi ili afanye kazi kwa kutumia dhahabu na fedha na shaba+ na chuma na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na uzi mwekundu na wa bluu, na anayejua jinsi ya kuchonga michoro, pamoja na wale walio na ustadi ambao wako pamoja nami katika Yuda na Yerusalemu, ambao Daudi baba yangu amewatayarisha.+ 8 Nawe uniletee mierezi,+ miberoshi+ na misandali+ kutoka Lebanoni,+ kwa maana mimi najua vema kwamba watumishi wako wana uzoefu wa kukata miti ya Lebanoni,+ (na, tazama, watumishi wangu wako pamoja na watumishi wako,) 9 ili kunitayarishia miti kwa hesabu kubwa, kwa maana ile nyumba nitakayoijenga itakuwa kuu, ndiyo, kuu ajabu. 10 Na, tazama! kwa wakusanyaji wa mbao, wakataji wa miti, ninatoa chakula kwa watumishi wako, kori 20,000 za ngano,+ na kori 20,000 za shayiri, na bathi 20,000 za divai,+ na bathi 20,000 za mafuta.”

11 Ndipo Hiramu mfalme wa Tiro+ akatoa neno katika maandishi, akalituma kwa Sulemani: “Kwa sababu Yehova aliwapenda+ watu wake, amekufanya wewe kuwa mfalme juu yao.”+ 12 Na Hiramu akaendelea kusema: “Abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli,+ aliyezifanya mbingu na dunia,+ kwa sababu amempa Mfalme Daudi mwana mwenye hekima, mwenye uzoefu katika busara na uelewaji,+ atakayejenga nyumba kwa ajili ya Yehova na nyumba kwa ajili ya ufalme wake.+ 13 Na sasa namtuma mtu mwenye ustadi, mwenye uzoefu katika uelewaji, Hiram-abi,+ 14 mwana wa mwanamke wa wana wa Dani lakini ambaye baba yake alikuwa mtu wa Tiro, mwenye uzoefu, afanye mapambo ya dhahabu na fedha, shaba,+ chuma, mawe+ na miti, sufu iliyotiwa rangi ya zambarau,+ uzi wa bluu+ na kitambaa laini+ na uzi mwekundu+ na kuchonga kila namna ya michoro+ na kubuni kila namna ya kitu+ atakachoweza kupewa pamoja na watu wako wenye ustadi na watu wenye ustadi wa bwana wangu Daudi baba yako. 15 Na sasa ile ngano na shayiri, mafuta na divai ambavyo bwana wangu ameahidi, na avilete kwa watumishi wake.+ 16 Nasi tutakata miti+ kutoka Lebanoni kulingana na mahitaji yako yote,+ nasi tutakuletea kama vyelezo kupitia baharini+ mpaka Yopa,+ nawe utaichukua na kuipeleka Yerusalemu.”

17 Ndipo Sulemani akawahesabu watu wote waliokuwa wakaaji wageni, waliokuwa katika nchi ya Israeli,+ baada ya ile hesabu ya watu ambayo Daudi alikuwa amechukua;+ kukapatikana watu 153,600. 18 Kwa hiyo akawafanya 70,000 kati yao wawe wabeba-mizigo+ na 80,000 wawe wachongaji+ wa mawe mlimani na waangalizi 3,600 wa kuwafanya watu watumikie.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki