Kutoka 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+ Zaburi 86:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hakuna yeyote aliye kama wewe katikati ya miungu, Ee Yehova,+Wala hakuna kazi zozote kama zako.+ Zaburi 95:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana Yehova ni Mungu mkuu+Na Mfalme mkuu juu ya miungu mingine yote,+ Zaburi 135:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana mimi mwenyewe najua vema kwamba Yehova ni mkuu,+Na Bwana wetu ni zaidi ya miungu mingine yote.+
11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+
3 Kwa maana Yehova ni Mungu mkuu+Na Mfalme mkuu juu ya miungu mingine yote,+ Zaburi 135:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana mimi mwenyewe najua vema kwamba Yehova ni mkuu,+Na Bwana wetu ni zaidi ya miungu mingine yote.+
5 Kwa maana mimi mwenyewe najua vema kwamba Yehova ni mkuu,+Na Bwana wetu ni zaidi ya miungu mingine yote.+