24 ‘Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, wewe mwenyewe umeanza kumfanya mtumishi wako aone ukuu+ wako na mkono wako wenye nguvu,+ kwa maana ni nani aliye mungu mbinguni au duniani ambaye hutenda matendo kama yako na utendaji wenye nguvu kama wako?+
22 Hiyo ndiyo maana wewe kwa kweli ni mkuu,+ Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova; kwa kuwa hakuna mwingine kama wewe,+ wala hakuna Mungu ila wewe+ kati ya wote ambao tumewasikia kwa masikio yetu.