Zaburi 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Pia ulimfanya mdogo kidogo kuliko wale walio kama Mungu,+Kisha ulimvika taji+ la utukufu+ na fahari. Waebrania 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ulimfanya mdogo kidogo kuliko malaika; ulimvika taji kwa utukufu na heshima,+ na kumweka juu ya kazi za mikono yako.+
5 Pia ulimfanya mdogo kidogo kuliko wale walio kama Mungu,+Kisha ulimvika taji+ la utukufu+ na fahari.
7 Ulimfanya mdogo kidogo kuliko malaika; ulimvika taji kwa utukufu na heshima,+ na kumweka juu ya kazi za mikono yako.+