Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+

      Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+

      Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+

  • 1 Samweli 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova, kwa maana hakuna mwingine isipokuwa wewe;+

      Na hakuna mwamba ulio kama Mungu wetu.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 17:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ee Yehova, hakuna mwingine kama wewe,+ wala hakuna Mungu ila wewe+ kwa habari ya yote ambayo tumeyasikia kwa masikio yetu.

  • Zaburi 83:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ili watu wajue+ kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+

      Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi,+ juu ya dunia yote.+

  • Zaburi 89:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa maana ni nani kule angani anayeweza kulinganishwa na Yehova?+

      Ni nani anayeweza kufanana na Yehova kati ya wana wa Mungu?+

  • Yeremia 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa vyovyote hakuna yeyote aliye kama wewe, Ee Yehova.+ Wewe ni mkuu, na jina lako ni kuu katika nguvu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki