Kutoka 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+ 1 Samweli 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova, kwa maana hakuna mwingine isipokuwa wewe;+Na hakuna mwamba ulio kama Mungu wetu.+ 1 Mambo ya Nyakati 17:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ee Yehova, hakuna mwingine kama wewe,+ wala hakuna Mungu ila wewe+ kwa habari ya yote ambayo tumeyasikia kwa masikio yetu. Zaburi 83:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ili watu wajue+ kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi,+ juu ya dunia yote.+ Zaburi 89:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana ni nani kule angani anayeweza kulinganishwa na Yehova?+Ni nani anayeweza kufanana na Yehova kati ya wana wa Mungu?+ Yeremia 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa vyovyote hakuna yeyote aliye kama wewe, Ee Yehova.+ Wewe ni mkuu, na jina lako ni kuu katika nguvu.+
11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+
2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova, kwa maana hakuna mwingine isipokuwa wewe;+Na hakuna mwamba ulio kama Mungu wetu.+
20 Ee Yehova, hakuna mwingine kama wewe,+ wala hakuna Mungu ila wewe+ kwa habari ya yote ambayo tumeyasikia kwa masikio yetu.
18 Ili watu wajue+ kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi,+ juu ya dunia yote.+
6 Kwa maana ni nani kule angani anayeweza kulinganishwa na Yehova?+Ni nani anayeweza kufanana na Yehova kati ya wana wa Mungu?+
6 Kwa vyovyote hakuna yeyote aliye kama wewe, Ee Yehova.+ Wewe ni mkuu, na jina lako ni kuu katika nguvu.+