Kutoka 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+ 2 Samweli 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hiyo ndiyo maana wewe kwa kweli ni mkuu,+ Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova; kwa kuwa hakuna mwingine kama wewe,+ wala hakuna Mungu ila wewe+ kati ya wote ambao tumewasikia kwa masikio yetu. Zaburi 86:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hakuna yeyote aliye kama wewe katikati ya miungu, Ee Yehova,+Wala hakuna kazi zozote kama zako.+
11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+
22 Hiyo ndiyo maana wewe kwa kweli ni mkuu,+ Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova; kwa kuwa hakuna mwingine kama wewe,+ wala hakuna Mungu ila wewe+ kati ya wote ambao tumewasikia kwa masikio yetu.