Kumbukumbu la Torati 3:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 ‘Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, wewe mwenyewe umeanza kumfanya mtumishi wako aone ukuu+ wako na mkono wako wenye nguvu,+ kwa maana ni nani aliye mungu mbinguni au duniani ambaye hutenda matendo kama yako na utendaji wenye nguvu kama wako?+ 1 Mambo ya Nyakati 16:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana,+Naye ni wa kuogopwa kuliko miungu mingine yote.+ Zaburi 86:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana wewe ni mkuu na unafanya mambo ya ajabu;+Wewe ni Mungu, wewe peke yako.+ Zaburi 96:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana Yehova ni mkuu+ na wa kusifiwa sana.Ni mwenye kuogopesha kuliko miungu mingine yote.+
24 ‘Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, wewe mwenyewe umeanza kumfanya mtumishi wako aone ukuu+ wako na mkono wako wenye nguvu,+ kwa maana ni nani aliye mungu mbinguni au duniani ambaye hutenda matendo kama yako na utendaji wenye nguvu kama wako?+