Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 3:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 ‘Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, wewe mwenyewe umeanza kumfanya mtumishi wako aone ukuu+ wako na mkono wako wenye nguvu,+ kwa maana ni nani aliye mungu mbinguni au duniani ambaye hutenda matendo kama yako na utendaji wenye nguvu kama wako?+

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa maana Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana,+

      Naye ni wa kuogopwa kuliko miungu mingine yote.+

  • Zaburi 86:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana wewe ni mkuu na unafanya mambo ya ajabu;+

      Wewe ni Mungu, wewe peke yako.+

  • Zaburi 96:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa maana Yehova ni mkuu+ na wa kusifiwa sana.

      Ni mwenye kuogopesha kuliko miungu mingine yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki